Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,593
- 6,754
Ndugu wana body sitaki kuwachosha.
Mada ni je? Mfanyakazi ambae aliachishwa kazi kwa sababu yoyoteile, na hakufanyiwa medical exist.
Baada ya malalamiko katika taasisimbalimbali za sheria ikaonekana anatakiwakufanyiwa medical exist na akakutwa na ugonjwa uliosababishwa na kazialiyokuwa anafanya na kampuni inamtibia kwa Sasa je? Mfanyakazi huyo wa zamani anatakiwa kupata malipoyoyote kwaajili ya kujikimu na familiayake wakati anaendelea na matibabu.
Mfano mwajiri amempangia hotel huyo work-related sehemuambapo ni Karibu na hospital na nimbali na Kwahuyo work-related ambapo ameacha familia.
Naomba ufafanuzi tafadhali.
Post sent using JamiiForums mobile app
Mada ni je? Mfanyakazi ambae aliachishwa kazi kwa sababu yoyoteile, na hakufanyiwa medical exist.
Baada ya malalamiko katika taasisimbalimbali za sheria ikaonekana anatakiwakufanyiwa medical exist na akakutwa na ugonjwa uliosababishwa na kazialiyokuwa anafanya na kampuni inamtibia kwa Sasa je? Mfanyakazi huyo wa zamani anatakiwa kupata malipoyoyote kwaajili ya kujikimu na familiayake wakati anaendelea na matibabu.
Mfano mwajiri amempangia hotel huyo work-related sehemuambapo ni Karibu na hospital na nimbali na Kwahuyo work-related ambapo ameacha familia.
Naomba ufafanuzi tafadhali.
Post sent using JamiiForums mobile app