mimi nimgeni katika hii biashara ya kufuga kuku; nimeanza kama nina wiki moja ivi; hawa kuku nimewanunua kutoka maeneo mablimbali ila wamefika nyumbani kwa siku mbili tofauti wakitoka sehemu tofauti siku ya nne nikashauriwa na watu kuwa niwape chanjo ya newcastle, nikawanunulia na kuwapa ile ya kidonge, siku moja tu baada ya kuwapa chanjo wapatwa na ugonjwa ambao una kila dalili ya kuwa ni mdondo, nimejaribu kila njia kwa kuwapa alovera, tetlecekilini, sasa hivi ndiyo nawapa dawa ya antibiotic nimeenda ubungo nikamwaona dk wa mifugo akasema nilikosea kuwapa chanjo ya mdondo kabla ya kuwapa antibiotic kasema hii chanjo kama kuku ana ugonjwa tayari huwa inautibua na kusambaa kwa kasi aksema wanaweza kufa wote nimeogopa ndugu yenu tena sana.
hawa kuku ni wakubwa matetea kama ishirini na majogoo watatu, wamenigharimu kama lako 350000 mpaka sasa , jamani mimi nimetafuta kazi sijapata mwaka wa pili nikaamua nijifungulie kimradi cha kuku hii pesa nimeitafuta kwa muda miezi kama 8, hivi kusudi likiwa nijiajilianagalau mimi ni graduate wa tourism and cultural heritage! nisaidieni ushauri na msaada wa ku rescure hawa kuku ambao ni tumaini langu
hawa kuku ni wakubwa matetea kama ishirini na majogoo watatu, wamenigharimu kama lako 350000 mpaka sasa , jamani mimi nimetafuta kazi sijapata mwaka wa pili nikaamua nijifungulie kimradi cha kuku hii pesa nimeitafuta kwa muda miezi kama 8, hivi kusudi likiwa nijiajilianagalau mimi ni graduate wa tourism and cultural heritage! nisaidieni ushauri na msaada wa ku rescure hawa kuku ambao ni tumaini langu