Msaada unahitajika

MUHIZ

Member
Joined
Apr 18, 2015
Posts
35
Reaction score
5
Habar wanajukwaa, naomba kufahamishwa ikiwa marehemu ameacha watoto aliozaa na mama tofauti na ikatokea mmoja wa hao watoto aliachwa na baba akiwa bado anasoma.

Je, Kwenye utaratibu Wa mirathi huyo mtoto atagawana sawa na wenzie au inakuaje?

Naomba kuwasilisha.
 
Msilete uroho Katika Mali za Marehemu gawaneni haki sawa kwa wote Kama SHERIA ya Mungu inavyotaka
 
Sasa ukisikia uchawi ndio huu! Kwahiyo unataka kusema urithi wake alisomea? Je kunamaandishi yoyote marehemu aliacha akisema akifa huyu msimpe amesomea urithi wake? Na vipi Kwa aliowalipia mahari? Vipi Kwa mabinti alikochukua mahari na posa zao akajengea nao wachukue nyumba? Acheni roho mbaya gawaneni Kama watoto wababa na mama mmoja na mwenyezi Mungu atawabariki na uzao wenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…