Msaada: United African University of Tanzania

Msaada: United African University of Tanzania

young mdogoo

Senior Member
Joined
Oct 9, 2014
Posts
120
Reaction score
21
Kwa mwanachuo yeyote wa united african university of tanzania naomba anipe info za chuo kidogo, kwasababu naona sipati updated document internet znazohusu hch chuo kw xaiv
 
Hii kwa sisi tulioko kilwa masoko ni mpya sana. Ngoja waje wenye updates zaidi.
 
UTAPELI HUO hakuna chuo hapo

Kipo mkuu..!! Ww tu hukijui, na pia mtoa mada ebu jaribu kukicheki net coz me nilipishana nacho fb wameweka picha za ramani kilipo na jinsi ya kwenda yani utafikaje fikaje, kimcngi zama fb andika jina la chuo utakiona wameweka profile pc ya afrika ikiwa mawinguni, kwalakuongezea n kwamba kinatambulika na tcu
 
Kipo mkuu..!! Ww tu hukijui, na pia mtoa mada ebu jaribu kukicheki net coz me nilipishana nacho fb wameweka picha za ramani kilipo na jinsi ya kwenda yani utafikaje fikaje, kimcngi zama fb andika jina la chuo utakiona wameweka profile pc ya afrika ikiwa mawinguni, kwalakuongezea n kwamba kinatambulika na tcu

Nacheki xaiv na asante kwa hilo mkuu
 
About
The UAUT is the first united
university established in Africa. The
campus is situated in Kigamboni
Temeke district in Dar es
Salaam.The founding purpose of
UAUT is to raise leaders of Tanzania
with Christian virtues, wisdom and
knowledge. <uaut.ac.tz>
 
Back
Top Bottom