Msaada: Ununuzi wa gari Afrika Kusini na kulisafirisha kwa barabara

Msaada: Ununuzi wa gari Afrika Kusini na kulisafirisha kwa barabara

iyo certificate inakua katika jina la huyo owner sasa hapo unaweza ukatafuta kitu kinaitwa Trafic register ni bure ila kuwa wewe sio mkazi wa hapo hapo jozzi au pretoria wanatoa iyo kwa rand 1500 rushwa..ukipata trafic register ndio gari linasajiliwa kwa jina lililopo katika iyo trafic register unaambatanisha document zote na iyo trafic register..unaenda hapo Trafic department yoyote unabadili jina halichukui muda...
 
utafata tena Sadc certificate na ukiipata nenda na document kufuta usajili wa ilo gari pretoria sunnyside ministry of trade ukipeleka leo document kibali cha kutoa gari unapata kesho ili usionekane unadaiwa road worth kwa kuwa umesajili kwa Trafic register..utapewa document then tayari kwa safari na hapo utawaambia unatoka na boarder ipi exite ipi..beitbridge au tolokwane botwana huko...
 
vitu ivyo vyoote vifanye mwenyewe jozzi iyo ukisema uumpe mtu afanye kumbe gari la moto na document unatengenezewa sio unafika boarder ya South Africa ya kutoka ndio mwisho wa safari...kwa iyo take care ila hii kazi yoote unaweza ukampa Agent unamlipa rand 4000 au 5000 anafanya wanapatikana borgsburg sehemu wanazouza ma truck wanamaliza kila kitu..
 
investigator nimekupa namba icheki pia unanunua range ya model gani mwaka gani ili nikuelekeze izo range zipo bei gani au cheki huu mtandao uone yanauzwaje huko..www.landrover olx.co.za hapo ni watu binafsi na makampuni wanauza cheki tuu kwanza ili uwe na mwanga wa bei na unalotaka kununua kwa hao jamaa zako...
 
au nenda faraday hapo hapo jozzi town kampuni inaitwa metal hawa jamaa wanauza gari zilizogongwa na zisizogongwa kwa bei nzuri hayo ya kisasa yapo bei nzur zaidi..
 
au nenda faraday hapo hapo jozzi town kampuni inaitwa metal hawa jamaa wanauza gari zilizogongwa na zisizogongwa kwa bei nzuri hayo ya kisasa yapo bei nzur zaidi..
hawa jamaa wanaouza gari zilizogongwa wanaziweka kwenye mtandao?
nawezaje ziangalia wakati nipo hapa hapa tz?
pia kwa gari iliyogongwa nia yangu ikiwa spare parts zake ntatakiwa kuilipia kiasi gani?
 
Back
Top Bottom