Ndugu zangu wanaJF
Nina shamba langu nimejiandaa kwa kilimo biashara nimeishakusanya vifaa vyote vya kilimo
Shamba langu lina ukubwa wa ekari 4 nimeishapata drip irrigation za kutosha na vitu vingine maana nimeapply kazi mpaka sasa mwaka hakuna cha ajira
Sasa nimekwama sehemu ya upimaji udongo na maji kwa hapa DAR ES SALAAM, nimejaribu kuulizia wengi wanapeleka SUA, Wengine KENYA, Wengine wanawapa watu binafsi wanawapelekea kupima (hapa kwa watu binafsi unaweza kuhujumiwa maana unaweza kuletewa report tofauti)
Je hapa DAR ES SALAAM NAEWEZA PATA KAMPUNI AMBAYO NAWEZA KUPELEKA UDONGO NA MAJI YANGU MWENYEWE BILA KUPITIA KWA DALALI?
Msaada
Nina shamba langu nimejiandaa kwa kilimo biashara nimeishakusanya vifaa vyote vya kilimo
Shamba langu lina ukubwa wa ekari 4 nimeishapata drip irrigation za kutosha na vitu vingine maana nimeapply kazi mpaka sasa mwaka hakuna cha ajira
Sasa nimekwama sehemu ya upimaji udongo na maji kwa hapa DAR ES SALAAM, nimejaribu kuulizia wengi wanapeleka SUA, Wengine KENYA, Wengine wanawapa watu binafsi wanawapelekea kupima (hapa kwa watu binafsi unaweza kuhujumiwa maana unaweza kuletewa report tofauti)
Je hapa DAR ES SALAAM NAEWEZA PATA KAMPUNI AMBAYO NAWEZA KUPELEKA UDONGO NA MAJI YANGU MWENYEWE BILA KUPITIA KWA DALALI?
Msaada