TAI DUME
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 9,748
- 26,238
Wana JF natumai mko poa
Nimepanga kuanza kufanya biashara ya mayai ya kienyeji kwa kuyatoa mkoani na kuyaleta hapa dar.
katika utafiti wangu nimegundua kwamba hii ni biashara ambayo haikulazimu kuwa na mtaji mkubwa sana kwa kuanzia unaweza kuanza hata na laki tatu na ikakulipa nusu kwa nusu endapo utafanikiwa kupata soko la uhakika.
Ninachohitaji kufahamishwa ni njia nzuri ya kusafirisha mayai hayo ili yafike salama hapa dar hata kama gari itapita katika barabra mbovu
Nawasubiri mshishe maujuzi
Nimepanga kuanza kufanya biashara ya mayai ya kienyeji kwa kuyatoa mkoani na kuyaleta hapa dar.
katika utafiti wangu nimegundua kwamba hii ni biashara ambayo haikulazimu kuwa na mtaji mkubwa sana kwa kuanzia unaweza kuanza hata na laki tatu na ikakulipa nusu kwa nusu endapo utafanikiwa kupata soko la uhakika.
Ninachohitaji kufahamishwa ni njia nzuri ya kusafirisha mayai hayo ili yafike salama hapa dar hata kama gari itapita katika barabra mbovu
Nawasubiri mshishe maujuzi