Duh we kwel unahtaj msaada
Wadau habari!nakuja jamvini hapa kuomba ushauri wenu. Nina wazo la kununua machine ndogo kwa ajili ya production,budget yangu ni kati ya 5m/= mpaka 8m/= kwa ajili ya ununuzi wa machine hiyo,ila katika wazo langu nimekosa kujua ni machine ya kitu gani hasa ambayo nikinunua bidhaa zake hazitakua kikwazo sana katika kuuzika!naomba kwa wadau wenye uwezo wa kunisaidia mawazo wanisaidia tafadhali,Asanteni wadau
Sasa mkuu hapo unaona umemsaidia au?jamaha mbona ameomba ushauri wenye tija tu,tusivanjane moyo bali tupeane courage kwa yale ya msing!mkuu Nyamburi,me nakushauri jaribu kutafuta machine za kutengeneza vitu kama chaki au hata mifuko ya ice cream/nylon,sijajua bei zake zikoje ila nina hakika ni affordable na bidhaa utakazo zalisha zinatumika daily
Hizo ni baishara za mtaji wa 50000 bora anunie mashine za kusaga aende mbeya huko
Ndugu uja ainisha ni msaada wa machine ya aina gani unataka yakusaga ya kukoboa ama ya kupukuchua mahindi
Wadau habari!nakuja jamvini hapa kuomba ushauri wenu. Nina wazo la kununua machine ndogo kwa ajili ya production,budget yangu ni kati ya 5m/= mpaka 8m/= kwa ajili ya ununuzi wa machine hiyo,ila katika wazo langu nimekosa kujua ni machine ya kitu gani hasa ambayo nikinunua bidhaa zake hazitakua kikwazo sana katika kuuzika!naomba kwa wadau wenye uwezo wa kunisaidia mawazo wanisaidia tafadhali,Asanteni wadau
Nenda hapa www.zhauns.com kuna kila aina ya mashine kwa ajili ya mjasiriamali. Hutakosa wazo na itakayo kufaa.
Mi niliagiza kwao mashine ya kutengeneza trays za mayai za mabox shemeji yenu mtarajiwa hajapata kazi tangu amalize chuo 2011 ila inamkeep busy mbaya hataki tena kuajiriwa.
Nenda hapa www.zhauns.com kuna kila aina ya mashine kwa ajili ya mjasiriamali. Hutakosa wazo na itakayo kufaa.
Mi niliagiza kwao mashine ya kutengeneza trays za mayai za mabox shemeji yenu mtarajiwa hajapata kazi tangu amalize chuo 2011 ila inamkeep busy mbaya hataki tena kuajiriwa.