Nyamburi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2011
- 306
- 36
Wadau habari!nakuja jamvini hapa kuomba ushauri wenu. Nina wazo la kununua machine ndogo kwa ajili ya production,budget yangu ni kati ya 5m/= mpaka 8m/= kwa ajili ya ununuzi wa machine hiyo,ila katika wazo langu nimekosa kujua ni machine ya kitu gani hasa ambayo nikinunua bidhaa zake hazitakua kikwazo sana katika kuuzika!naomba kwa wadau wenye uwezo wa kunisaidia mawazo wanisaidia tafadhali,Asanteni wadau