Abubakar Abdallah
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 281
- 170
Nilikutana na tatizo kama la kwako nikiwa advanced levo mwaka jana na nilidrop kutoka dvision two niliyoipata kwa starehe olevo mpaka division foo ya mwisho nliyoipata kwa shida sana, kikubwa ni kwamba nilichelewa kugundua tatizo lilitokana na nini, ndugu yangu........ Fanya mambo yafuatayo, acha punyeto....kisha acha punyeto..... Kisha nenda kafanye check up ya macho,narudia kafanye checkup ya macho....kisha angalia na ibada pia..... Mwisho, unaeza usiwe na mpenzi ila akawepo unayempenda, na kutokua nae ndo kunakufanya upige punyeto... Kutokana na stress, nadhani ulisoma bioz..ukiwa na stress unaeza jikuta unatoa manii kwa urahisi sana, ongeza na stress zingine lazima utadrop, kwahio jitahidi pia kujiepusha na vyanzo vya stress, ushauri ..... Tafuta mbinu mbadala na kama huna mpenz usitafute mpenz... Kwaheri mwanachuo