lucley
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 727
- 1,986
Salaam wanajukwaa,
Baada ya kujaza kibubu kwa muda mrefu, hatimae nimeamua liwalo na liwe mwaka huu lazima nimiliki usafiri binafsi. Bajeti yangu mpaka sasa ni 15m. Baada ya upembuzi wa muda mrefu nimeangukia kwenye gari mbili zifuatazo, Nissan Dualis na Toyota Premio.
Matumizi yangu makubwa ni kazini, nyumbani na mizunguko ya mjini. Mazingira ninayoishi ni lami, ila kuna kipande cha takribani 1km cha rough road za mitaani (mwendo wa dkk 4). Pia natarajia kufanyia safari za Dar to Southern Highlands every once in a while.
NB: Ni gari yangu ya kwanza kumiliki, sina uzoefu wowote wa magari ila nina uzoefu wa mashine mbalimbali na technical know-how zake.
Natanguliza shukrani.
Baada ya kujaza kibubu kwa muda mrefu, hatimae nimeamua liwalo na liwe mwaka huu lazima nimiliki usafiri binafsi. Bajeti yangu mpaka sasa ni 15m. Baada ya upembuzi wa muda mrefu nimeangukia kwenye gari mbili zifuatazo, Nissan Dualis na Toyota Premio.
Matumizi yangu makubwa ni kazini, nyumbani na mizunguko ya mjini. Mazingira ninayoishi ni lami, ila kuna kipande cha takribani 1km cha rough road za mitaani (mwendo wa dkk 4). Pia natarajia kufanyia safari za Dar to Southern Highlands every once in a while.
NB: Ni gari yangu ya kwanza kumiliki, sina uzoefu wowote wa magari ila nina uzoefu wa mashine mbalimbali na technical know-how zake.
Natanguliza shukrani.