Msaada:Utaratibu na Namna ya kutuma maombi ya mkopo HESLB.

Msaada:Utaratibu na Namna ya kutuma maombi ya mkopo HESLB.

Nyakwec's Bro

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2012
Posts
820
Reaction score
174
Habari zenu wakuu,nina mdogo wangu amemaliza fomu 6 mwaka huu,nilikuwa ninahitaji kujua namna ya kutuma maombi

ya mkopo maana naona karibia kila mwaka taratibu zinabadilika nimepitia website ya HESLB sijaona maelezo ya uombaji

kwa mwaka huu,pia niona nyuzi za wadau wakiomba tu msaada katika hatua za mwisho.

Ningepennda mnisaidie hizo taratibu ili nianze kumfanyia dogo hayo maombi.

Asanteni sana.
 
Back
Top Bottom