Msaada: Uume hausimami niamkapo asubuhi

Msaada: Uume hausimami niamkapo asubuhi

Ipananga kulwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2017
Posts
573
Reaction score
293
Habari madaktari kama mada tajwa hapo juu nina zaidi ya siku 5 naamka asubuhi uume hausimami tafauti na awali hata kama nina mkojo je hili ni tatizo au ni hali ya kawaida naomba kujuzwa.
 
Umejaribu kuamka mchana imeshindikana...in Sizonje voice
 
Habar madaktar,,,,Kama mada tajwa hapo juu ,,Nina zaidi ya cku 5 naamka asubuhi uume hausimami tafaut na awali hata kama Nina mkojo,,,je hili ni tatzo au ni hali ya kawaida....naomba kujuzwa
Kapimwe Sukari kwenye Damu. Isije kuwa kisukari kimekuvamia ndugu
 
Jaribu kulala na CHUPI YA MKEO.....huenda ikarudisha ARI na HAMU ya tendo...
 
Back
Top Bottom