Msaada: Uume kushindwa kusimama

Msaada: Uume kushindwa kusimama

Habarini ndugu zangu wa JF, naomba niende moja kwa moja kwenye tatizo ambalo kwasasa linaninyima radha ya maisha, nilifanya appointment na binti nikiwa vizuri kabsa na kabla ya hapo sikuwa na tatizo kama hili.

Binti alifanikiwa kupanda gari kuja eneo nilipo, ilikuwa ni kwa mara ya kwanza kufanya mechi nae, usiku wa kwanza nilifanya vizuri tu bila tatizo, na kesho yake asubuhi vile vile.

Baada ya hapo siku zilizofuata performance yangu ikashuka, nikawa natumia nguvu nyingi sana kupata hisia, japo nilijitahidi kwa uwezo wa Mungu akamaliza muda wake kwangu akijua naweza ( japo Kuna muda alistuka akajua Nina shida kitandani).

Akaondoka, tokea hapo mashine yangu imekuwa ikisimama kwa shida sana ( legelege) mwanzoni Hali hii kwa kweli imeninyima raha kabsa ndugu zangu. Nimekuwa mtu wa mawazo, na kiasi kwamba najiona dhaifu.

Nina week mbili Sasa mashine inasimama kwa wasiwasi, na ikisimama haina uwezo wa kuwekwa mahali ( sio imara).

Naomba kwa mtu anayejua tiba, ushauri anisaidie nimekuwa mtu wa kushinda nimelala nikiwaza.

Naombeni ushauri wenu au mwenye Tiba anisaidie.
Homoni za Testosterone njoo inbox nikuandie
 
Nipende kushukuru sana hili jukwaa la JF, hakika hili jukwaa Lina watu wenye moyo sana wa kusaidia na wenye kulibeba tatizo kama lao.

Ashukuriwe sana mwanzilishi wa hili jukwaa la JF Maxence Melo hakika Mungu ambariki sana kwa kufikiria kuanzisha hili jukwaa.

Baada ya kueleza tatizo langu hapa Kuna watu wema sana walikuja inbox na wengine naendelea kuwasiliana nao, naomba nikishapona nitakuja kuwashukru hapa ila kwasasa Nina matumaini makubwa.


Ombi langu tuendelee kulitumia vizuri hili jukwaa, maana Kuna siku watu wengine watapata shida kama hii afu watakuja kutafuta rejea humu na kupata Tiba.
 
Habarini ndugu zangu wa JF, naomba niende moja kwa moja kwenye tatizo ambalo kwasasa linaninyima radha ya maisha, nilifanya appointment na binti nikiwa vizuri kabsa na kabla ya hapo sikuwa na tatizo kama hili.

Binti alifanikiwa kupanda gari kuja eneo nilipo, ilikuwa ni kwa mara ya kwanza kufanya mechi nae, usiku wa kwanza nilifanya vizuri tu bila tatizo, na kesho yake asubuhi vile vile.

Baada ya hapo siku zilizofuata performance yangu ikashuka, nikawa natumia nguvu nyingi sana kupata hisia, japo nilijitahidi kwa uwezo wa Mungu akamaliza muda wake kwangu akijua naweza ( japo Kuna muda alistuka akajua Nina shida kitandani).

Akaondoka, tokea hapo mashine yangu imekuwa ikisimama kwa shida sana ( legelege) mwanzoni Hali hii kwa kweli imeninyima raha kabsa ndugu zangu. Nimekuwa mtu wa mawazo, na kiasi kwamba najiona dhaifu.

Nina week mbili Sasa mashine inasimama kwa wasiwasi, na ikisimama haina uwezo wa kuwekwa mahali ( sio imara).

Naomba kwa mtu anayejua tiba, ushauri anisaidie nimekuwa mtu wa kushinda nimelala nikiwaza.

Naombeni ushauri wenu au mwenye Tiba anisaidie.
Nilidhani nimesikia na kuona yote kumbe nilikuwa najidanganya. Leta mambo
 
Ok
Hakuna Tiba ya Nguvu Za Kiume ukae ukijua
Fanya haya
Kuanzia asb mpaka jioni kula vyakula cha asili zinazochangia mwili kuwa na nguvu
Fanya mazoezi sana angalau nusu saa hasa ya kegel
Baada ya muda hali itaisha kabisa
Ukitumia Dawa Za kuamsha hali itazidi kuwa Mbaya zaidi
Baada ya haya kuyafanya Fanya checkup ya afya kwa magonjwa Kama UTI, kisukari, pressure Kama huna ukifanya hayo hapo juu tatizo linaisha kabisa
 
Tangawizi,

karafuu,

amdalasini,

limao(u)

kitunguu swaum

asali Lita moja,

vichanganye halafu unywe kijiko kimoja cha chai asubuhi na jion kila siku
 
Ok
Hakuna Tiba ya Nguvu Za Kiume ukae ukijua
Fanya haya
Kuanzia asb mpaka jioni kula vyakula cha asili zinazochangia mwili kuwa na nguvu
Fanya mazoezi sana angalau nusu saa hasa ya kegel
Baada ya muda hali itaisha kabisa
Ukitumia Dawa Za kuamsha hali itazidi kuwa Mbaya zaidi
Baada ya haya kuyafanya Fanya checkup ya afya kwa magonjwa Kama UTI, kisukari, pressure Kama huna ukifanya hayo hapo juu tatizo linaisha kabisa
Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom