Msaada: Uume kushindwa kusimama

Kunywa Windhock ulewe ili usahau matatizo yako, pombe ikishakuwa kichwan, mwite akufuate ulipo! kama anakunywa naye mnunulie anywe alewe!

Baada ya hapo njoo hapa utoe mrejesho.

Tatizo linalokusumbia ni mawazo uliyonayo, huna tatizo lolote zaidi ya hilo
 
Wacha kumuingiza Mungu kwenye uzinzi wako kijana
 
Ukienda hospital watacheck Level ya Testosterone hormone na mara nyingi kwa maelekezo yako hayo itakutwa ipo sawa!

Sina hakika kama inaweza kushuka ghafla hivyo.
Kwa ushauri mwingine mkuu?
 
Oa kwanza ili usaidiwe,sio usaidiwe halafu ukafanye zinaa...
 

Hilo ni tego linaitwa ‘nyamagandile’.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…