Kichwa Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,726
- 314
,kuu tafuta mbegu na majani ya mlonge yanasaidia matatizo ya uzazi kwa mwanamke na mwanaume pia na kumaliza vimbe zote mwilini. pia ajaribu kutumia maziwa, samaki, asali mbichi, tangawizi, mdalasini na kitunguu saumu kwa maelezo zaidi ni pm maelezo ni bureeHabari,
Mi na mke wangu tumezaa mtoto mmoja wa kike, ana umri wa miaka minne na nusu sasa. Tuliamua kuzaa tena, tukaanza kama mara tatu hivi wife alionekana kama mjamzito ila baada ya wiki hadi wiki mbili anaona siku zake.
Mara ya tatu ilitushtua hasa baada ya kuona hali hiyo inajirudia, tukaamua kwenda hospital ya wilaya, akapigwa ultra sound ikaonekana ana uvimbe kwenye njia ya uzazi ambao haufahamiki chanzo chake na unahisiwa ndio chanzo cha kutoshika mimba. Amepewa barua ya rufaa kwenda Muhimbili.
Kichwa kinapata moto. Ushauri wenu tafadhali .
Asante.
Asante kwa ushauri lakini alifanyiwa operation akiwa na mimba ya wiki mwaka jana mwezi wa nane na mwaka huu mwezi wa nne kajifungua mtoto wa kiume.,kuu tafuta mbegu na majani ya mlonge yanasaidia matatizo ya uzazi kwa mwanamke na mwanaume pia na kumaliza vimbe zote mwilini. pia ajaribu kutumia maziwa, samaki, asali mbichi, tangawizi, mdalasini na kitunguu saumu kwa maelezo zaidi ni pm maelezo ni buree
ni pmAsante kwa ushauri lakini alifanyiwa operation akiwa na mimba ya wiki mwaka jana mwezi wa nane na mwaka huu mwezi wa nne kajifungua mtoto wa kiume.
Tatizo lililopo sasa mtoto huyo ana hema kwa tabu sana inahisiwa vinyama vimeota puani maana baada ya kwenda hospital ya Wilaya walitu refer Muhimbili ambako wamesema mpaka mtoto aongezeke umri ndio wanaweza kumchunguza. Walitupa dawa anatumia lakini hali bado hana nafuu