Trayvess Daniel
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 651
- 1,244
Kama kichwa kinavyojieleza, nimekua mtumiaji wa voda unlimited kifurushi cha 115K miaka miwili sasa, lakini huu mwaka kimekua na usumbufu wa hali ya juu as if ni msaada.....
Nataka nihame chimbo, option pekee ni airtel, TTCL wameniwekea mkwamo, tigo nilipo ni mtihani mkubwa......
Kama unatumia airtel unlimited Internet Mwanza please mwaga uzoefu hapa au DM
Nataka nihame chimbo, option pekee ni airtel, TTCL wameniwekea mkwamo, tigo nilipo ni mtihani mkubwa......
Kama unatumia airtel unlimited Internet Mwanza please mwaga uzoefu hapa au DM