Msaada: Vifaranga wanaishiwa nguvu miguuni

Watafutie viroba tena uwahi maana soon manyara vutakuwa vinapatikana!
 
JF ina madini sana.
Nina vifaranga vya week moja na siku 3 jana nimechukua vifaranga vipya nikawachanganya nikawawekea taa ya joto. Leo nimekuta kimoja kile cha week 1 ushee kinashindwa kutembea. Nimeona kuna mtu kasema joto huwa linawaathiri. Nimezima ile taa nasubiri matokeo.....

JF Idumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…