Msaada vijiji gani nipeleke dagaa wa Mwanza?

Msaada vijiji gani nipeleke dagaa wa Mwanza?

Jana nimeenda mwaloni nimeambiwa huko mwaloni gozba mvua zinanyesha so dagaa hawapo mpaka mvua ikate kwanza
 
Ushauri wangu Kama ndio unaanza.. Nunua dagaa kutoka kwa wavuvi huko visiwani Kisha nenda kauzie pale Mwaloni Kirumba Mwanza.
Unaweza uza kwa Bei ya Jumla au reja reja.. wanunuzi pale wapo.

My take:- Vijijini hasa huko sijui tabora, Katavi, sumbawanga na nk wahitaji na watuamiji wa hizo dagaa ni wapo na Ni wengi lakini hawana pesa (( Cash in hand hawana )) labda uende ukakopeshe.

Mjini (( Mwaloni Kirumba pale )) wahitaji (wafanya Biashara na watuamiji ) wote wapo na pesa pia wanazo tena cash in hand.. issue bageinini pawa yako katika Bei ya kuuzia.

Back to my Experience.
Nilikuwa naenda kuchukua dagaa tena wale fresh wanene wa jua moja.. kutoka kisiwa Cha GOZIBA.. Nusu nilikuwa nauzia pale Mwaloni Kirumba Mwanza, Mzigo mwingine nilikuwa naupeleka huko Kusini magharibi mwa Tanzania.. Vijiji Kama majimoto, chamalendi, Mamba, inyonga, usevya nk

Faida: Huko Vijijini kote nilikopita zaidi ya kujifunza ukomandoo sikuona faida zaidi ya kuuzia Kirumba Mwanza pale pale. Sababu pale mzunguko unakuwa chapu.

Mkuu nataka niianze hii biashara sema jana nimeenda mwaloni kirumba nimeambiwa Goziba mvua inapiga balaa so uanikaji shida na dagaa wamepanda bei sana gunia linarange 270k mpaka 280k so nikashauriwa niwait mpaka mvua ikate ndio niende na bei itakua chini kidogo, Mkuu kwa uzoefu wako vp naweza kuanza na mtaji wa sh ngapi? je pale kirumba hakuna usumbufu wa kupata meza na wateje? japo nimehakikishiwa meza pale ni sh 500 kwa gunia ukishauza.
 
Gunia linakuwa na debe ngapi mkuu?
Mkuu nataka niianze hii biashara sema jana nimeenda mwaloni kirumba nimeambiwa Goziba mvua inapiga balaa so uanikaji shida na dagaa wamepanda bei sana gunia linarange 270k mpaka 280k so nikashauriwa niwait mpaka mvua ikate ndio niende na bei itakua chini kidogo, Mkuu kwa uzoefu wako vp naweza kuanza na mtaji wa sh ngapi? je pale kirumba hakuna usumbufu wa kupata meza na wateje? japo nimehakikishiwa meza pale ni sh 500 kwa gunia ukishauza.
 
Gunia linakuwa na debe ngapi mkuu?

mkuu mwenyewe natafuta info kama wewe bado sijaianza hii business ila linakaa debe 10 nasikia wanapima kwa madumu kule visiwani dumu moja ndio debe 1 ambalo ni 24k per debe kwa sasa nasikia.
 
Ushauri wangu Kama ndio unaanza.. Nunua dagaa kutoka kwa wavuvi huko visiwani Kisha nenda kauzie pale Mwaloni Kirumba Mwanza.
Unaweza uza kwa Bei ya Jumla au reja reja.. wanunuzi pale wapo.

My take:- Vijijini hasa huko sijui tabora, Katavi, sumbawanga na nk wahitaji na watuamiji wa hizo dagaa ni wapo na Ni wengi lakini hawana pesa (( Cash in hand hawana )) labda uende ukakopeshe.

Mjini (( Mwaloni Kirumba pale )) wahitaji (wafanya Biashara na watuamiji ) wote wapo na pesa pia wanazo tena cash in hand.. issue bageinini pawa yako katika Bei ya kuuzia.

Back to my Experience.
Nilikuwa naenda kuchukua dagaa tena wale fresh wanene wa jua moja.. kutoka kisiwa Cha GOZIBA.. Nusu nilikuwa nauzia pale Mwaloni Kirumba Mwanza, Mzigo mwingine nilikuwa naupeleka huko Kusini magharibi mwa Tanzania.. Vijiji Kama majimoto, chamalendi, Mamba, inyonga, usevya nk

Faida: Huko Vijijini kote nilikopita zaidi ya kujifunza ukomandoo sikuona faida zaidi ya kuuzia Kirumba Mwanza pale pale. Sababu pale mzunguko unakuwa chapu.
Mkuu hii ishu bado unapiga?
 
Back
Top Bottom