Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
Sado ni elfu 7Mkuu uliweza swala la usafiri Ina maana soko lipo?
Na je huko unaweza kujua Bei ya Gunia,ndooa ya lita 10,au Sado moja Ni Bei gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sado ni elfu 7Mkuu uliweza swala la usafiri Ina maana soko lipo?
Na je huko unaweza kujua Bei ya Gunia,ndooa ya lita 10,au Sado moja Ni Bei gani?
Ushauri wangu Kama ndio unaanza.. Nunua dagaa kutoka kwa wavuvi huko visiwani Kisha nenda kauzie pale Mwaloni Kirumba Mwanza.
Unaweza uza kwa Bei ya Jumla au reja reja.. wanunuzi pale wapo.
My take:- Vijijini hasa huko sijui tabora, Katavi, sumbawanga na nk wahitaji na watuamiji wa hizo dagaa ni wapo na Ni wengi lakini hawana pesa (( Cash in hand hawana )) labda uende ukakopeshe.
Mjini (( Mwaloni Kirumba pale )) wahitaji (wafanya Biashara na watuamiji ) wote wapo na pesa pia wanazo tena cash in hand.. issue bageinini pawa yako katika Bei ya kuuzia.
Back to my Experience.
Nilikuwa naenda kuchukua dagaa tena wale fresh wanene wa jua moja.. kutoka kisiwa Cha GOZIBA.. Nusu nilikuwa nauzia pale Mwaloni Kirumba Mwanza, Mzigo mwingine nilikuwa naupeleka huko Kusini magharibi mwa Tanzania.. Vijiji Kama majimoto, chamalendi, Mamba, inyonga, usevya nk
Faida: Huko Vijijini kote nilikopita zaidi ya kujifunza ukomandoo sikuona faida zaidi ya kuuzia Kirumba Mwanza pale pale. Sababu pale mzunguko unakuwa chapu.
Apa unamdanganya mkuu.. waha na wale dagaa wao uwaambii kitu nishawah kupata hasara iyo hatarPeleka Kigoma Huko Mpeta, Nyakitonto
😀😁😄😅😅😃😃😀😁😄Apa unamdanganya mkuu.. waha na wale dagaa wao uwaambii kitu nishawah kupata hasara iyo hatar
Mkuu nataka niianze hii biashara sema jana nimeenda mwaloni kirumba nimeambiwa Goziba mvua inapiga balaa so uanikaji shida na dagaa wamepanda bei sana gunia linarange 270k mpaka 280k so nikashauriwa niwait mpaka mvua ikate ndio niende na bei itakua chini kidogo, Mkuu kwa uzoefu wako vp naweza kuanza na mtaji wa sh ngapi? je pale kirumba hakuna usumbufu wa kupata meza na wateje? japo nimehakikishiwa meza pale ni sh 500 kwa gunia ukishauza.
Gunia linakuwa na debe ngapi mkuu?
Dumu 20 au Dumu 10.Gunia linakuwa na debe ngapi mkuu?
Mkuu hii ishu bado unapiga?Ushauri wangu Kama ndio unaanza.. Nunua dagaa kutoka kwa wavuvi huko visiwani Kisha nenda kauzie pale Mwaloni Kirumba Mwanza.
Unaweza uza kwa Bei ya Jumla au reja reja.. wanunuzi pale wapo.
My take:- Vijijini hasa huko sijui tabora, Katavi, sumbawanga na nk wahitaji na watuamiji wa hizo dagaa ni wapo na Ni wengi lakini hawana pesa (( Cash in hand hawana )) labda uende ukakopeshe.
Mjini (( Mwaloni Kirumba pale )) wahitaji (wafanya Biashara na watuamiji ) wote wapo na pesa pia wanazo tena cash in hand.. issue bageinini pawa yako katika Bei ya kuuzia.
Back to my Experience.
Nilikuwa naenda kuchukua dagaa tena wale fresh wanene wa jua moja.. kutoka kisiwa Cha GOZIBA.. Nusu nilikuwa nauzia pale Mwaloni Kirumba Mwanza, Mzigo mwingine nilikuwa naupeleka huko Kusini magharibi mwa Tanzania.. Vijiji Kama majimoto, chamalendi, Mamba, inyonga, usevya nk
Faida: Huko Vijijini kote nilikopita zaidi ya kujifunza ukomandoo sikuona faida zaidi ya kuuzia Kirumba Mwanza pale pale. Sababu pale mzunguko unakuwa chapu.
Mkuu bado unafanya hii ishu?Apa unamdanganya mkuu.. waha na wale dagaa wao uwaambii kitu nishawah kupata hasara iyo hatar