Msaada vipele huwa vinakuja na nakupotea na maumivu makali

Msaada vipele huwa vinakuja na nakupotea na maumivu makali

Hii ni sehemu Gani??
Kwa haraka haraka ni kama Ni Vulva au Labia Majora..
So ungekuwa Specific ni sehemu gani ingekuwa bora kukupa jibu
kwenywe nyuzi
 

Attachments

  • 20240904_172325.jpg
    20240904_172325.jpg
    394.3 KB · Views: 9
Acha Kula tigo Kavukavu,,Zingatia Usafi wewe na mwenzio wako,,, Matumizi ya Vilainishi husika na Kinga
 
Acha Kula tigo Kavukavu,,Zingatia Usafi wewe na mwenzio wako,,, Matumizi ya Vilainishi husika na Kinga
huwezi amini kaka sili tigo na vinatoka hata usipofanya mapenzi
 
kula sana matunda yenye asili ya uchachu na mboga za majani huku ukienda hspital kupima, wakikupa majibu ni nini itakua rahisi kukusaidia
 
kwenywe nyuzi
ANhaa sasa kuna uwezekano wa Magonjwa Kama manne hivi..
Unatakiwa Kwenda Hospitali kwa ajili ya Check up...
Huenda Ikawa Ni Advance Stage ya Syphilis (Syphilitic Chancres) Au Ni Penile Scabies (Papule) au Ni Herpes Simplex..

So Nenda ukafanyiwe Uchunguzi kabla haijawa Tatizo kubwa
 
Back
Top Bottom