Nimeweka Dimensions kadri ya mchoro wake Boss! Ingekuwa Mimi, spatial and functional organisation could be more ideal far from that!Kuwa 16 kwa 14 mita, ni kosa kubwa. Ni matumizi mabaya ya pesa na nafasi.
Arch gurus wote ni lazima wajue kucheza na nafasi ili kuminimize cost
Nimeji-update nikarudia tena, nikarudia tena. Hadi nimekinai sasa
Sawa, Ila hapaswi kwenda na ukubwa huo. Labda kuna vitu viongozewe.Nimeweka Dimensions kadri ya mchoro wake Boss! Ingekuwa Mimi, spatial and functional organisation could be more ideal far from that!
Ndugu yetu Aliomba msaada wa vipimo kwa kadri ya mchoro wake tu Mkuu, na ndicho nilichofanya! Nina uwezo wa kushauri au ku-redesign ila sikwenda huko! Nimemwelekeza tu next time atumie WataalamSawa, Ila hapaswi kwenda na ukubwa huo. Labda kuna vitu viongozewe.
Daah![emoji848]Mlango wa pili wa kutokea hakuna?
Hapoasima kuwe na Angola mwingine wa dharau au ni ndogo sioni?
Kubadili ramani sawa. Ila issue ya bati ya mwanga sidhani Kama itafanya kazi maana nyumba Kama itakuwa na ceiling.Kubadili kidogo ramani au kuweka bati linalopitisha mwanga.
Haifiki huko
- ipo hivi
Kwa mbele (Front view), itawakilisha upana
Jumla kwa mbele ni 14.8m
- master room ni 4.6m, sehemu iliyotokeza ya choo chake ni 0.5m
- sitting room 5m( sawa na verandah)
- Dining 3.5m
- Kitechen verandah iliyotokeza 1.2m
Kwa nyuma (rear view)
Jumla upande wa nyuma (rear view) ni 14.8m
- sehemu ya kitchen veranda iliyokeza 1.2 m
- store 1.2m
- bedroom 3.5m
- sh 1.2m
- wc 1.2m
- bedroom 3m
- bedroom 3.5m
Kwa pembeni kulia (right view), itawakilisha urefu
Jumla kwa pembeni kulia jumla ni 12.7m
- sehemu iliyotokeza ya entry verandah 2m
- master room 4m
- choo Cha master room 1.5m
- choo Cha bedroom ya kawaida 1.2m, ambayo ipo usawa wa corridor
- bedroom 3.5m
- sehemu iliyotokeza ya bedroom 0.5m
Kwa pembeni kushoto(left view)
Kwa pembeni kushoto jumla ni 12.7m
- sehemu iliyotokeza ya entry verandah ni 2m
- dining 2.7m
- kitchen pamoja na kitchen veranda 4m
- store 2.5m
- sehemu ya bedroom iliyotokeza 1m
- sehemu ya bedroom iliyotokeza 0.5m
Hivyo ukubwa wa nyumba ni 14.8m kwa 12.7m
Ushauri; kwenye wc na sh, hapo "sh" ife na iwe wc ya bedroom iliyo karibu yake hapo ili kuipa privacy kwa maana mlango wake upo karibu na sehemu ya wazi ya sitting room, kwa maana mtu akitoka na taulo kwenda kuoga walio sitting room wote watamuona
Then, hiyo wc ndio itakua choo na bafu at the same time
Kama Kuna sehemu hujaelewa uliza, Mimi ndio
Haifiki huko
- ipo hivi
Kwa mbele (Front view), itawakilisha upana
Jumla kwa mbele ni 14.8m
- master room ni 4.6m, sehemu iliyotokeza ya choo chake ni 0.5m
- sitting room 5m( sawa na verandah)
- Dining 3.5m
- Kitechen verandah iliyotokeza 1.2m
Kwa nyuma (rear view)
Jumla upande wa nyuma (rear view) ni 14.8m
- sehemu ya kitchen veranda iliyokeza 1.2 m
- store 1.2m
- bedroom 3.5m
- sh 1.2m
- wc 1.2m
- bedroom 3m
- bedroom 3.5m
Kwa pembeni kulia (right view), itawakilisha urefu
Jumla kwa pembeni kulia jumla ni 12.7m
- sehemu iliyotokeza ya entry verandah 2m
- master room 4m
- choo Cha master room 1.5m
- choo Cha bedroom ya kawaida 1.2m, ambayo ipo usawa wa corridor
- bedroom 3.5m
- sehemu iliyotokeza ya bedroom 0.5m
Kwa pembeni kushoto(left view)
Kwa pembeni kushoto jumla ni 12.7m
- sehemu iliyotokeza ya entry verandah ni 2m
- dining 2.7m
- kitchen pamoja na kitchen veranda 4m
- store 2.5m
- sehemu ya bedroom iliyotokeza 1m
- sehemu ya bedroom iliyotokeza 0.5m
Hivyo ukubwa wa nyumba ni 14.8m kwa 12.7m
Ushauri; kwenye wc na sh, hapo "sh" ife na iwe wc ya bedroom iliyo karibu yake hapo ili kuipa privacy kwa maana mlango wake upo karibu na sehemu ya wazi ya sitting room, kwa maana mtu akitoka na taulo kwenda kuoga walio sitting room wote watamuona
Then, hiyo wc ndio itakua choo na bafu at the same time
Kama Kuna sehemu hujaelewa uliza, Mimi
Wewe ni zaidi ya mkandarasi... Umejibu maswali yangu mengi big up mkuu
Habari mkuu kupitia iyo ramani iliyokwapuliwa naomba unirekebishie uifanye vyumba vitatu master na single 2 sebule yenye open dinning na jiko la saizi tu nyumba ya kawaida ya baraza ya kuvuta mbele na nyuma ila iwe kisasa natanguliz shukrani zangu za dhatiMi nashindwa nikusaidiaje, nichore hiyo ramani alafu niweke vipimo nikupe au niandike hapa vipimo?
Haifiki huko
- ipo hivi
Kwa mbele (Front view), itawakilisha upana
Jumla kwa mbele ni 14.8m
- master room ni 4.6m, sehemu iliyotokeza ya choo chake ni 0.5m
- sitting room 5m( sawa na verandah)
- Dining 3.5m
- Kitechen verandah iliyotokeza 1.2m
Kwa nyuma (rear view)
Jumla upande wa nyuma (rear view) ni 14.8m
- sehemu ya kitchen veranda iliyokeza 1.2 m
- store 1.2m
- bedroom 3.5m
- sh 1.2m
- wc 1.2m
- bedroom 3m
- bedroom 3.5m
Kwa pembeni kulia (right view), itawakilisha urefu
Jumla kwa pembeni kulia jumla ni 12.7m
- sehemu iliyotokeza ya entry verandah 2m
- master room 4m
- choo Cha master room 1.5m
- choo Cha bedroom ya kawaida 1.2m, ambayo ipo usawa wa corridor
- bedroom 3.5m
- sehemu iliyotokeza ya bedroom 0.5m
Kwa pembeni kushoto(left view)
Kwa pembeni kushoto jumla ni 12.7m
- sehemu iliyotokeza ya entry verandah ni 2m
- dining 2.7m
- kitchen pamoja na kitchen veranda 4m
- store 2.5m
- sehemu ya bedroom iliyotokeza 1m
- sehemu ya bedroom iliyotokeza 0.5m
Hivyo ukubwa wa nyumba ni 14.8m kwa 12.7m
Ushauri; kwenye wc na sh, hapo "sh" ife na iwe wc ya bedroom iliyo karibu yake hapo ili kuipa privacy kwa maana mlango wake upo karibu na sehemu ya wazi ya sitting room, kwa maana mtu akitoka na taulo kwenda kuoga walio sitting room wote watamuona
Then, hiyo wc ndio itakua choo na bafu at the same time
Kama Kuna sehemu hujaelewa uliza, Mimi ndio
Haifiki huko
- ipo hivi
Kwa mbele (Front view), itawakilisha upana
Jumla kwa mbele ni 14.8m
- master room ni 4.6m, sehemu iliyotokeza ya choo chake ni 0.5m
- sitting room 5m( sawa na verandah)
- Dining 3.5m
- Kitechen verandah iliyotokeza 1.2m
Kwa nyuma (rear view)
Jumla upande wa nyuma (rear view) ni 14.8m
- sehemu ya kitchen veranda iliyokeza 1.2 m
- store 1.2m
- bedroom 3.5m
- sh 1.2m
- wc 1.2m
- bedroom 3m
- bedroom 3.5m
Kwa pembeni kulia (right view), itawakilisha urefu
Jumla kwa pembeni kulia jumla ni 12.7m
- sehemu iliyotokeza ya entry verandah 2m
- master room 4m
- choo Cha master room 1.5m
- choo Cha bedroom ya kawaida 1.2m, ambayo ipo usawa wa corridor
- bedroom 3.5m
- sehemu iliyotokeza ya bedroom 0.5m
Kwa pembeni kushoto(left view)
Kwa pembeni kushoto jumla ni 12.7m
- sehemu iliyotokeza ya entry verandah ni 2m
- dining 2.7m
- kitchen pamoja na kitchen veranda 4m
- store 2.5m
- sehemu ya bedroom iliyotokeza 1m
- sehemu ya bedroom iliyotokeza 0.5m
Hivyo ukubwa wa nyumba ni 14.8m kwa 12.7m
Ushauri; kwenye wc na sh, hapo "sh" ife na iwe wc ya bedroom iliyo karibu yake hapo ili kuipa privacy kwa maana mlango wake upo karibu na sehemu ya wazi ya sitting room, kwa maana mtu akitoka na taulo kwenda kuoga walio sitting room wote watamuona
Then, hiyo wc ndio itakua choo na bafu at the same time
Kama Kuna sehemu hujaelewa uliza, Mimi
Wewe ni zaidi ya mkandarasi... Umejibu maswali yangu mengi big up mkuu
Hii nyumba ni kubwa. Kwa mahesabu ya haraka haraka Urefu x Upana sio chini ya 18mx 15m hivi. Binafsi hua sipendi sebule ikae katikati ya nyumba maana itakua haina hewa, ningekua ni mimi hiyo sebule ningeipeleka kulia ili iwe na madirisha mbele na pembeni halafu dinning ndio ije kati
MKONGWE! Leo umetembelea jukwaa letu, karibu sanaKwa nini usiwaombe "Jenga nao" wakusaidie vipimo, bila shaka umeitoa kwao...
Hata hivyo mara nyingi vipimo hutegemea wewe wahitaji nini, mathalani wataka chumba cha kulala kiwe 3m x 3m au 3m x 3.5m n.k n.k
Infact inategemea ni structure ya aina gani na materials pia! 500k itakupoteza! Fanya ka utafiti kidogo utakuta ni around 800kNgoja na mie nilete karamani kangu mkapatie dimensions hapa.
Aise hivi ile nadharia ya kuwa cost ya ujenzi per square metre ni 500k bado ipo applicable?
😲😲😲 Wee ndio unataka nisianze kabisa ujenzi. Yaani nyumba ya 100sqm iwe million 80! Mzeya kwani najenga mini kempiskyInfact inategemea ni structure ya aina gani na materials pia! 500k itakupoteza! Fanya ka utafiti kidogo utakuta ni around 800k
Hebu leta hiyo ramani
[emoji1787][emoji1787] Soma vizuri maelezo yangu acha woga! Wewe anza ujenzi kwa On-Site Estimates! Hizi mbwembwe za rates hutaziweza, Unless unataka nyumba ya kwenye makaratasi. Ukienda NCC pale utapewa rates na maelezo kama yangu, unajenga structure ya aina gani? Multfloors? Materials je? Steel? Masonry? Timber au nn?[emoji44][emoji44][emoji44] Wee ndio unataka nisianze kabisa ujenzi. Yaani nyumba ya 100sqm iwe million 80! Mzeya kwani najenga mini kempisky