Habari wakuu,
Nina ndugu ndio amewasili hivi jijini Dar hapa na yupo yupo tu. Sasa sipendi tu awepo awepo hapa nyumbani, nimeona nimtafutie kitu cha kufanya chenye manufaa nae. Hivyo nimeona mafunzo ya ujasiriamali kwa vitendo yatamfaa sana. Sasa kuna kituo kimoja kipo Banana kule (sikijui kilipo kwa hapo banana) nilisikia tu tangazo lake kwenye redio na nikachukua namba zao ila kwa bahati mbaya zile namba sijui nilizihifadhi wapi.
Hivyo kama kuna mdau anakijua hicho kituo au kama kuna sehemu yoyote unaijua ambayo haya mafunzo ya ujasiriamali kwa vitendo yanapatikana naomba unijulishe tafadhali. Jina la kituo, sehemu kilipo na mawasiliano yao kama unayo.
Natanguliza shukran zangu za dhati.
Nina ndugu ndio amewasili hivi jijini Dar hapa na yupo yupo tu. Sasa sipendi tu awepo awepo hapa nyumbani, nimeona nimtafutie kitu cha kufanya chenye manufaa nae. Hivyo nimeona mafunzo ya ujasiriamali kwa vitendo yatamfaa sana. Sasa kuna kituo kimoja kipo Banana kule (sikijui kilipo kwa hapo banana) nilisikia tu tangazo lake kwenye redio na nikachukua namba zao ila kwa bahati mbaya zile namba sijui nilizihifadhi wapi.
Hivyo kama kuna mdau anakijua hicho kituo au kama kuna sehemu yoyote unaijua ambayo haya mafunzo ya ujasiriamali kwa vitendo yanapatikana naomba unijulishe tafadhali. Jina la kituo, sehemu kilipo na mawasiliano yao kama unayo.
Natanguliza shukran zangu za dhati.