Msaada VoIP app inayofanya kazi hapa Tanzania

Msaada VoIP app inayofanya kazi hapa Tanzania

raslimali

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2014
Posts
1,958
Reaction score
1,744
Habari Wakuu

Natafuta app ya android ninayoweza kutumia kupiga Simu kwenda nje ya Tanzania kwa kutumia VoIP (voice over internet protocol).

Nimejaribu VoipStudio haifanyi kazi. Ningependa kupata ambayo ina free trial ili nijaribu kabla ya kulipia.

Nitashukuru kwa muongozo.
 
Telos vipi mkuu, unanunua namba ya je lakink canada, US na UK nadhani unanunua muda wa maongezi inapiga na kupokea sms na wewe unaweza tuma hata sms akapokea mtu mwenye simu ya torch
 
Habari Wakuu

Natafuta app ya android ninayoweza kutumia kupiga Simu kwenda nje ya Tanzania kwa kutumia VoIP (voice over internet protocol).

Nimejaribu VoipStudio haifanyi kazi. Ningependa kupata ambayo ina free trial ili nijaribu kabla ya kulipia.

Nitashukuru kwa muongozo.
Swali la Uelewa. VoIP hautumiii internet!? Maana naona Sasa hivi haya mambo unaweza Kufanya hata Na Whatsapp Voice call
 
Telos vipi mkuu, unanunua namba ya je lakink canada, US na UK nadhani unanunua muda wa maongezi inapiga na kupokea sms na wewe unaweza tuma hata sms akapokea mtu mwenye simu ya torch
Ngoja niicheki
 
VoIP inatumia internet. Whatsapp siwezi kutumia kupiga kwenye landline au namba yoyote isiyokuwa na app ya Whatsapp.
Tumia skype, ama app ya Nchi husika.

Rates za Skype

Sababu skype ni App ya Kimagharibi kupiga Us ama nchi nyengine za kimagharibi ni rahisi.
 
Tumia skype, ama app ya Nchi husika.

Rates za Skype

Sababu skype ni App ya Kimagharibi kupiga Us ama nchi nyengine za kimagharibi ni rahisi.
Nimetumia Skype Leo nashangaa after 15 minutes ya kupiga UK my account was blocked. Natafuta support center Yao wanifafanulie
 
Back
Top Bottom