weeder
Member
- Aug 3, 2013
- 64
- 36
Great thinkers sorry nilikuwa naomba msaada wa ushauri juu ya mdogo wangu aliemaliza form four mwaka 2013 na anataka soma certificate na diploma ya records n management so nilikuwa naomba msaada wenu juu ya vyuo gani hapa tz ambavyo vinatoa course ya records and management vizuri