kijanamakini
Senior Member
- Nov 2, 2010
- 118
- 15
Mimi ni kijana mwenye shida ya ofisi space ila kama mjasiriamali mdogo sina capital ya kuweza kugharamia ofisi kwa sasa. Naomba msaada wa mtu mwenye ofisi eneo la posta ambayo inaweza ikawa na space ya mimi kuweza kushare kwa kuweza kuweka my desk office pia. Ata kama ni kwa makubaliano ya hapo biashara yangu itakapoanza kuleta gains then naweza nikachangia rent kulingana na makubaliano. Nimesharegistrer my business name na brela, naitaji ofisi tuu ili kumalizia stage zingine zote.
Business yangu ni service oriented, katika masuala ya social media management and online solutions. Ingawa huko mbeleni nategemea kukuza zaidi aina nyingine za services kulingana na opportunities.
Napatikana STEVpm ktk Twitter, na kwa simu unaweza wasiliana nami kwa namba hii 0782790034!
Business yangu ni service oriented, katika masuala ya social media management and online solutions. Ingawa huko mbeleni nategemea kukuza zaidi aina nyingine za services kulingana na opportunities.
Napatikana STEVpm ktk Twitter, na kwa simu unaweza wasiliana nami kwa namba hii 0782790034!
Last edited by a moderator: