Msaada wa Act, Amendment and/ case law kuhusu a qualified Doctor kujaza Pf3

Msaada wa Act, Amendment and/ case law kuhusu a qualified Doctor kujaza Pf3

Joined
Jan 12, 2015
Posts
67
Reaction score
59
Nahitaji msaada wa Act, amendment, au Case law ambayo inatoa qualifications za Daktari ambaye anaruhusiwa kujaza pf3 and/or postmoterm. Maana huku nilipo Clinical officers wengi ndiyo wanaojaza pf3 na kisheria hawaruhusiwi. Kwa sasa Daktari mwenye Cheo kuanzia AMO na kuendelea ndiyo wanaruhusiwa lakini sijajua which law, amendment au Case law ipi imetoa hizo qualifications. Pleese naombeni msaada.
 
Vuta subira wajuzi watakusaidia
 
Back
Top Bottom