Msaada wa aina tano za shahada ambazo hata nikikosa serikalini naweza kujiendesha

Msaada wa aina tano za shahada ambazo hata nikikosa serikalini naweza kujiendesha

Achana na mashahada , nunua pc yako chagua aina moja ya ujuzi, jifungie kwa mwaka mmoja jinoe vizuri kupitia youtube.
Ukitoka nje uza ujuzi wako tengeneza pesa.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Huu ndio ushauri anapaswa kuufanyia kazi , binafsi mi nimejikita kwenye kujifunza graphic design baada ya mwaka ntakuwa pazuri
 
Back
Top Bottom