Unajaza Majina yako, namba ya simu na mahali utakapokuwa unapokelea mzigo wako.
Niliagiza bidhaa ya Kwanza ikafika baada ya miezi 4, bidhaa ya pili ikafika baada ya siku 17, bidhaa ya tatu ikafika baada ya siku 35, bidhaa ya nne ulifika baada ya siku 20, nk nk. Kwa uzoefu wangu bidhaa za "free shipping" zinachelewa Sana. Niliagiza mizigo miwili kwa wakati mmoja ,nilioulipia nauli ulifika siku ya 35,ule wa free shipping sasa ni siku kwenye free shipping ikoje? N
Unajaza Majina yako, namba ya simu na mahali utakapokuwa unapokelea mzigo wako.
Niliagiza bidhaa ya Kwanza ikafika baada ya miezi 4, bidhaa ya pili ikafika baada ya siku 17, bidhaa ya tatu ikafika baada ya siku 35, bidhaa ya nne ulifika baada ya siku 20, nk nk. Kwa uzoefu wangu bidhaa za "free shipping" zinachelewa Sana. Niliagiza mizigo miwili kwa wakati mmoja ,nilioulipia nauli ulifika siku ya 35,ule wa free shipping sasa ni siku 50 haujafika.
Kwenye Free shiping ikoje na hii ya kulipia ikoje kama unaweza kutoa ufafanuzi