Joseph Cliff
Member
- May 31, 2016
- 28
- 6
Habari zenu wana JF mimi nina mpango wa kutoa huduma za
M-pesa
Tigo pesa
Airtel money
Maxmalipo
je ni shiling ngapi inahitajika kupata uwakala wa M-pesa,Tigo pesa,Airtel money na Maxmalipo. pia ningependa kujua gharama za kupata leseni ya biashara
M-pesa
Tigo pesa
Airtel money
Maxmalipo
je ni shiling ngapi inahitajika kupata uwakala wa M-pesa,Tigo pesa,Airtel money na Maxmalipo. pia ningependa kujua gharama za kupata leseni ya biashara