Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona JF sikuhizi wamejaa watu wenye mizaha tu?Kaitupe kwenye Dustbin
🤣🤣🤣🤣😏Mbona JF sikuhizi wamejaa watu wenye mizaha tu?
Jaribu kufuta na tissue kwenye kidude kama cha line ya simu uchomeke tena, rudia rudia pia jaribu kuzima King'amuzi kwa dakika moja na uwashe. Pia angalia usije ukawa unskosea kuweka cart katika upande sahihi.Wakuu Nina king'amuzi kipya cha AZAM
Card nikiweka naona maandishi " Smart card mute"
Nawapigia Azam wako busy.
Nifanye nin
Nashukuru, halafu Kama king'amuzi NI kipya kuna ofa ya mwezi mmoja ? Kama ipo inapatikanaje?Jaribu kufuta na tissue kwenye kidude kama cha line ya simu uchomeke tena, rudia rudia pia jaribu kuzima King'amuzi kwa dakika moja na uwashe. Pia angalia usije ukawa unskosea kuweka cart katika upande sahihi.
Ikishindikana uwapigie simu muda wa kazi huwa wanapokea haraka ila usiku huwezi kuwapata. Inawezekana umezima smart card wakati unajiunga kwenye simu kupitia azam max kuna option ya kuzima ila ukiwapigia tatizo lako linaisha.
Wakati unasajiri ulipewa hiyo ofa na itakuwepo mpaka mwezi uishe tokea ulipo nunua King'amuziNashukuru, halafu Kama king'amuzi NI kipya kuna ofa ya mwezi mmoja ? Kama ipo inapatikanaje?
Wakuu Nina king'amuzi kipya cha AZAM
Card nikiweka naona maandishi " Smart card mute"
Nawapigia Azam wako busy.
Nifanye nini?