Habari zenu ndugu.
Naombeni kwa anajua chuo chochote kizuri na kilichosajiliwa cha ualimu anielekeze.
Nina ndugu yangu amemaliza form 4 mwaka jana kapata 4 ya 39,ana C moja,D moja na E tatu!
Je kwa alama zake hizi za ufaulu inawezekana apate chuo?
Natanguliza shukrani zangu.
Habari zenu ndugu.
Naombeni kwa anajua chuo chochote kizuri na kilichosajiliwa cha ualimu anielekeze.
Nina ndugu yangu amemaliza form 4 mwaka jana kapata 4 ya 39,ana C moja,D moja na E tatu!
Je kwa alama zake hizi za ufaulu inawezekana apate chuo?
Natanguliza shukrani zangu.
kimesajiliwa?
Kimesajiliwa? kuna huduma za bweni? mana huyu anatokea singida,na ada zake zikoje?
Ndio ndio
Anaweza pata chuo mlete hapa Nyamahanga Biharamulo. Ni pm
Ndio ndio
Kimesajiliwa? kuna huduma za bweni? mana huyu anatokea singida,na ada zake zikoje?
Ada ni million n bwen ndio, wakimkubali atasoma fresh tu
Nipe utaratibu basi wa kuapply,detail zip za muhimu na vitu vingine,na mwisho ni lini? mana nimechungulia udom naona deadline ilikua june,huku ni lin?
Usipoteze muda wako kuomba walimu kwa ufaulu huo Huna sifa,kwani mwaka jana ilikuwa mwisho point 34 napo wenye 34 walipata vyuo vya binafsi
Mkuu kwa chuo cha ualimu hizo point usijaribu,kiwe cha serikali au private,hata wakikubali private usijaribu maana hutafanya mtihani wa mwisho kwa huo ufaulu.Nadhani atafute kozi nyingine ambazo anaweza pata
Asante mkuu kwa kumuelimisha,nimemwambia akalime mihogo nikaonekana namkatisha tamaa,tatzo watanzania tunachukia ukweli na kuhusudu uongo
Mhh unamajibu ya kukatisha tamaa jaman.Je fani nyingine kwa ngazi ya cheti na alama hizo anaweza soma course gan?