Ynaa
JF-Expert Member
- Oct 18, 2013
- 252
- 174
Habari zenu ndugu.
Naombeni kwa anajua chuo chochote kizuri na kilichosajiliwa cha ualimu anielekeze.
Nina ndugu yangu amemaliza form 4 mwaka jana kapata 4 ya 39,ana C moja,D moja na E tatu!
Je kwa alama zake hizi za ufaulu inawezekana apate chuo?
Natanguliza shukrani zangu.
Naombeni kwa anajua chuo chochote kizuri na kilichosajiliwa cha ualimu anielekeze.
Nina ndugu yangu amemaliza form 4 mwaka jana kapata 4 ya 39,ana C moja,D moja na E tatu!
Je kwa alama zake hizi za ufaulu inawezekana apate chuo?
Natanguliza shukrani zangu.