Wakuu tuna baba yetu anatatizo la kuvimba miguu na tumbo kujaa na moyo unamatatizo pia hali kabisa chakula, sasa tumepima hospital wamesema figo zinamatatizo pia tumboni kumejaa maji so inabidi tukanyonye hayo hospital, sasa kama kuna mtu anamfahamu dokta ambaye ni bingwa kwa mambo hayo na hospital anayopatikana naomba tusaidiane jamani