Salaam zenu wana JF, msaada wa daktari bingwa nina tatzo la tumbo kujaa gas, linakuwa km linavimba but linauma upande wa kulia chini ya mbavu. Maumivu haya yanaenda had kiunoni upande huo huo, mkononi na pia had kwenye paja.
Msaada ni daktari gani napaswa kumuona? Nitashukuru kwa msaada wenu wana jamvi
Pole sana. Hebu fuata ushauri wa huyu Great Thinker hapa chini....Nilishaenda aga khan nikfanya ultra sound, ct scan wakasema hamna tatizo, regency the same hamna tatizo, Ami niliend Feb nikaambiw infection tumbon nikapata dawa na sindano tatizo likaisha but now naona limerudi. @Aspirin
pole mkuu... hiyo ultrasound mmm ulifanyia wapi? nenda hospitali nyingine tena... may be kuna tatizo kwenye ini hasa mishipa inayoingia hapo...
na je vipi uliishawahi kupima utendaji kazi wa moyo? kama bado nayo kapime mkuu.. hapo si bure.