Habari ndugu kaka zangu na dada zangu wa Jf kwema habari za mida hii, poleni na majukumu ya kujenga TAIFA
Natumaini ni wazima kwa afya na mwenye changamoto MWENYEZI MUNGU ASAIDIE! ndugu zangu nimekuja na shida kidogo Nina mtoto mdogo hapa kidogo Hali yake imebadirika Toka asubuhi niliona kama hajachangamka nikajua labda katoka kulala ni kawaida yake, ila kwa Sasa naona Hali imebadirika ni kulia tu ndugu zangu sijui homa au Nini na mwaka Jana katoka kumaliza dawa za marelia baada ya kumpima na UTI ndugu zangu naomba japo msaada wenu chochote kile nikampeleke mahabara nikampima angalau nijue ni kitu Gani Mimi Sina kitu kwakweli tafadhali ndo maana nimekuja kuwaona nyie kama ndugu zangu ntashukuruni sana🙏 nikipata vipimo na dawa ntashukuru sana pia ntaleta mrejesho kwenu
Ps : mwenye kutaka japo kuniona 0788258979
Natumaini ni wazima kwa afya na mwenye changamoto MWENYEZI MUNGU ASAIDIE! ndugu zangu nimekuja na shida kidogo Nina mtoto mdogo hapa kidogo Hali yake imebadirika Toka asubuhi niliona kama hajachangamka nikajua labda katoka kulala ni kawaida yake, ila kwa Sasa naona Hali imebadirika ni kulia tu ndugu zangu sijui homa au Nini na mwaka Jana katoka kumaliza dawa za marelia baada ya kumpima na UTI ndugu zangu naomba japo msaada wenu chochote kile nikampeleke mahabara nikampima angalau nijue ni kitu Gani Mimi Sina kitu kwakweli tafadhali ndo maana nimekuja kuwaona nyie kama ndugu zangu ntashukuruni sana🙏 nikipata vipimo na dawa ntashukuru sana pia ntaleta mrejesho kwenu
Ps : mwenye kutaka japo kuniona 0788258979