chacha2016
Senior Member
- Oct 21, 2016
- 189
- 119
Nina misuli mingi mingi mikononi hadi nakosa amani na nashndwa kuvaa shati la mikono mifupi hasa kipindi cha jua kali (mchana)
Mwenye kujua kama kuna mafuta ya kupaka au dawa za kutumia ili kuipunguza au kuondoa kabisa hii misuli mikononi tafadhali anisaidie au hata kwa ushauri tu.
[HASHTAG]#jfhakishndkanikitu[/HASHTAG]
Mwenye kujua kama kuna mafuta ya kupaka au dawa za kutumia ili kuipunguza au kuondoa kabisa hii misuli mikononi tafadhali anisaidie au hata kwa ushauri tu.
[HASHTAG]#jfhakishndkanikitu[/HASHTAG]