Msaada wa dawa ya kupunguza usingizi

Watu tunapishana...

Mimi natafuta dawa ya kulala...nina shida mbaya ya kutolala kabisa.
Nimehangaika na tiba nyingi tu ila bado!
Yaani nateseka sana...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kunywa kahawa au vitu vyenye caffein utakuwa mlinzi kabisa
 
Nenda kwenye kituo cha afya upate ushauri wa kitaalam na tiba kama ina unalazima.
 
[QUOTE="a.hapa ndipo unapokosea

Naweza kua mahala labda Bar ingawa sinywi pombe kwa ajili ya kubuy time ili nisiwahi kulala ila muda wote nahisi usingizi.
 
Inawezekana una kisukari. Unapokula vyakula vya wanga hufanya carbohydrate kujaa kwenye damu. Kwa kuwa mwili wsko hauna insulin ya kutosha kubadili carbohydrate basi mwili hupata fatigue na kukufanya ujaribu kulala. Jaribu kutokula vyakula vya wanga kwa siku tatu mfululizo uone hali yako inaendekeaje. Ukipata nafuu nichek inbox.
 
Kunywa energy yenye kiwango kikubwa Cha cafein

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kula Codeine phosphate 30mg Kuanzia Uchovu Maumivu viungo kulegea hamu ya kula mzigo inakomesha vyote..kuna jamaa yangu leo ana miezi sita Ngangari ni vibaya.
Ngoja na mimi niijaribu hii japo sina tatizo la kulala, nataka nipunguze masaa ya kulala kutoka tisa mpaka sita

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…