Ungeweka na picha ingependeza kujua ukubwa wa tatizo. Nakushauri utafute hela umpeleke hospitali ya Apolo India ndo kuna tiba nzuri sana.
Kule ndo kuna madaktali, hapa kwetu kuna wajukuu wa madaktari tu-hawana uwezo wa kutibu kabisa.
Kumbuka kumpiga picha then utupie, ni muhimu sana aiseee.
Jaribu hii maji ya ganda la mgomba unaliponda na kupaka kwenye unyeo kutwa mara tatu kwa wiki mbili atapona inshallah akipona usisahau kuja kutupa feedbackHabari zenu wakuu,,
Kwa kipindi kirefu mdogo wangu wa kiume amekuwa akisumbuliwa na tatizo la maumivu wakati na baada ya kujisaidia
Ameenda hospitali akapewa dawa ya kupaka ya diclopar(kwa ajili ya kupunguza maumivu),ila akambiwa kwamba ana tatizo la anal fissure(mchubuko sehemu ya ajal kubwa) lakini utapona wenyewe baada ya siku chache.
Tatizo hili limeendelea kwa muda sasa takribani wik 3,hivyo anayefahamu dawa nyingine tafadhali anisaidie.