Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mh, unaanza ujasiliamali kwa kufa kufaana!Nipigie kwenye 0659463709 kuna dawa niliitumia mimi nikapona kabisa, imetengenezwa kwa mitishamba mingi tofautitofauti. Nitakuuzia kwa sh 10,000/= kama upo dar kesho waweza kuipata.
mh, unaanza ujasiliamali kwa kufa kufaana!
Dawa ya jino linalouma ni kungoa tu! Nina uhakika baada ya mimi mwenyewe kupoteza sh40000 kutafuta dawa hiyo! Badala ya kutumia sh3000 kulingoa! Kama haamini muache atarudi mwenyewe kuleta Tawire!Utakavyoona inafaa mkuu, yeye kataka dawa au zipo za bure?
Dawa ya jino linalouma ni kungoa tu! Nina uhakika baada ya mimi mwenyewe kupoteza sh40000 kutafuta dawa hiyo! Badala ya kutumia sh3000 kulingoa! Kama haamini muache atarudi mwenyewe kuleta Tawire!
haya ngoja tuone ushuhuda wa zama hizi za digitali!Hiyo ilikuwa zamani kidogo ndio watu walikuwa wanaamini hivyo kuwa dawa ya jino ni kung'oa. Atang'oa yote. Pole kwa kutumia 40,000/= kwa jino tu. Subiri watakuja wengine mi ngoja niishie hapa. Jumapili njema.
Nipigie kwenye 0659463709 kuna dawa niliitumia mimi nikapona kabisa, imetengenezwa kwa mitishamba mingi tofautitofauti. Nitakuuzia kwa sh 10,000/= kama upo dar kesho waweza kuipata.
kaka na wewe ulitumia ulikuwa umenunua au? mana kwa mujibu wa maelezo yako na wewe ulitafuta mahali leo unataka kuniuzia? je una uhakika inatibu?