Msaada wa Dawa ya kutoa mimba ya miezi mitatu

Status
Not open for further replies.

FatherOfAllSnipers

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2019
Posts
1,692
Reaction score
4,442
Wakuu, sheria inasema anayetoa au kutolewa mimba wote hao wanaweza kukabiliwa na kifungo cha mpaka miaka 7+ jela.

Mimi kwenye harakati za kupitapita nilipita sehemu isiyopitika, nikakutana na kitoto cha watu nikajilia vyangu.

Kitoto kilianza kuumwa umwa tukajua jambo la kawaida, sasa leo tumepima kitoto kina mimba ya miezi mitatu.

Sasa naombeni dawa ya kutoa mimba, iwe ya kienyeji au ya kwenda kununua dukani.
Mimi na kitoto tumesha yamaliza tuitoe.

Maana siyo mimi au yeye anayekula chakula kikashuka.
 
Ma Dr wote hao umeshindwa kumlambisha kibunda hata mmoja?
 
Hamna kutoa.Muache azae.
Sasa akizaa utamuhudumia huyo mtoto, unajua financial status ya mtoa mada, au unajua sababu ya msingi kwanini wanataka kuitoa, unajuaje kama huyo binti ni mwanafunzi au familia yao watalichukuliaje hilo jambo au unadhani walivyo chukua hayo maamuzi wenyewe hawana akili.

Kama imetokea bahati mbaya na mtoa mada alikuwa hajajipanga sio sababu ya kuleta kiumbe kikateseka bure, kuongeza idadi ya watoto wa mitahani
 
Nimemuelekeza waje waishi kwangu.Hamna kuua.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…