Msaada wa dawa ya kuuwa/Kuzui wadudu wanaokula mahindi shambani

Msaada wa dawa ya kuuwa/Kuzui wadudu wanaokula mahindi shambani

Lihove2

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2018
Posts
3,545
Reaction score
6,512
Wakuu kama kichwa cha habari.

Nina vimahindi vyangu kama robo heka hiv vina kama mwezi hivi.Ila wadudu wanavishambulia hatari sana.mwenye uzoefu wa daqa ya kutibu hili( kama kuna njia za asili za kutibu zisizo na athali za mazingira nitafurahi sana pia).pia namna ya kizuia hawa wadudu.yaani jinsi wanavyoshambulia mpaka nahisi huenda wadudu walikuwa kwenye mbegu wakati wa kupanda.

Cc.Afisa ugani
 
Ni wadudu gani maana kwa Sasa viwavijeshi ndo wapo on top ila Kama ni Yule mdudu anaekula hapo katikati ya maindi Kuna mwaka nilipiga dawa nikachoka nikaanza piga sabuni ya unga na banana (pombe) keenye mahindi
 
Ni wadudu common sn kweny zao la mahindi, kwa kitaalam wanaitwa Fall Army Worm.
Sasa inategemeana na eneo uliopo dawa gani znapatkana sn huko. Mifano ya dawa inayoweza kukusaidia kweny tatizo hilo (based on brand names)
Dk lufu
Wilcron
Profecron
Duduwill
Wahi usije ukapoteza zao hapo.
 
Back
Top Bottom