Msaada wa dawa ya ulcers

Mwanakulipata

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2018
Posts
714
Reaction score
1,193
Hamjambo!?

Kuna kipindi kama miaka 2 nyuma nilikuwa nafatilia mijadala ya Dawa za vidonda vya tumbo.

Sikumbuki vizuri ila nishaona zaidi ya mara tatu kuna watu wanashauri dawa flani hivi ni za hospital zipo za aina tatu unakunywa pamoja zinaponesha kabisa

Sio Omeprazole wala Kit eligo

Nikisahau ku-bookmark ule uzi... Naombeni mwenye kujua hii combination ya dawa anisaidie

Regard
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…