Msaada wa dawa yakuumwa kichwa mda mrefu.

david magessa

Member
Joined
Feb 4, 2019
Posts
13
Reaction score
2
Habari zenu wanajamii wenzangu
Nilikuwa naomba masaada wa dawa ya kuumwa kichwa kwa mda mrefu kwa maana Niko nasumbriwa na tatizo hilo kwa mda wa mwez mmoja na cjui nn tatizo dawa nimetumia sana
Mwenye msaada naomba mnisaidie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niko banana gongo LA mboto

Sent using Jamii Forums mobile app
OK. Uko mbali, but tafuta mtu anayetokea Bukoba muulize kwa Dar ni wapi unaweza pata dawa inaitwa OMUKIKIMBO, dawa hii unaweka kwenye pua (kama wanavyoweka ugoro) unapiga chafya za kutosha (be care ni kaliii saaana inabidi uweke kidogo saana na unaongeza mdogomdogo)

Then nyingine unapika unakunywa robo glasi. Kwa muda wa siku tatu tu unapona mazima.


All the best

Mambo yamekua mengi na Mengi yamekua Mambo
 
Sababu za Kuumwa kichwa ziko nyingi, mojawapo ni tatizo la macho, malaria, typhoid, presha nazani ya kupanda, uti n.k

Maumivu yakizidi muone daktari!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo la hivyo lilinikuta mwaka 2010 na rimao ndiyo ilikuwa tiba yangu

MAGA 2020
 
Kichwa kinapouma sana huashiria kuwa una underlying disease yaani ugonjwa uliofichika. Inaweza kuwa ni bacterial infection ama viral infection. Kwa hiyo kichwa kama kichwa peke yake sio ugonjwa bali ni kiashiria cha uwepo wa tatizo ndani ya mwili wako.
Nenda hospitali kufanya vipimo, badala ya kutegemea ushauri wa bush - doctors waliojaa humu.
 
Jamani na mimi ninaomba msaada, Kichwa kinaniuma kwenye mishipa hasa nikicheka mfululizo au nikiinama,nimeshaenda hosp kam nne GEMSA, NSK, ALMC na AICC kwa hapa arusha wakanipima hadi hormone ila wanadai hawaoni tatizo,kwa mwenye ufahamu zaidi anisaidie jaman,kuna wakati nashindwa kutimiza majukumu kama mama wa familia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…