david magessa
Member
- Feb 4, 2019
- 13
- 2
Habari zenu wanajamii wenzangu
Nilikuwa naomba masaada wa dawa ya kuumwa kichwa kwa mda mrefu kwa maana Niko nasumbriwa na tatizo hilo kwa mda wa mwez mmoja na cjui nn tatizo dawa nimetumia sana
Mwenye msaada naomba mnisaidie
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa naomba masaada wa dawa ya kuumwa kichwa kwa mda mrefu kwa maana Niko nasumbriwa na tatizo hilo kwa mda wa mwez mmoja na cjui nn tatizo dawa nimetumia sana
Mwenye msaada naomba mnisaidie
Sent using Jamii Forums mobile app