Msaada wa dawa

sinyoritah

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2012
Posts
552
Reaction score
346
naomba kujibiwa swali langu nakupewa maelezo yaliyokamili,
Je kuna dawa yakumfanya mtu afike kileleni kwa haraka?
upungufu wa hormone za kike kunaeza msababisha mtu kutofika kileleni?
NOTE:
Mawazo yapo kwenye tendo,maandalizi niyakutosha,unafurahia tendo lakini kileleni hufiki, msasada plz
 
Duh! pole sana dada kama hujawah ckia raha ya peak! mwambie mchz aongeze ufund na achze na angle muhm kam clit na gspot
 
Tafuta Dawa moja inayoitwa kwa jina hili Kungumanga Moja Uitwange kuwa unga uitie kwenye uji glasi 1 kisha kunywa kabla ya dakika 30ya kufanya mapenzi kisha uje hapa unipe Feedback sinyoritah
 

Attachments

  • kungumanga.jpg
    52.1 KB · Views: 106
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…