sinyoritah
JF-Expert Member
- Jun 3, 2012
- 552
- 346
naomba kujibiwa swali langu nakupewa maelezo yaliyokamili,
Je kuna dawa yakumfanya mtu afike kileleni kwa haraka?
upungufu wa hormone za kike kunaeza msababisha mtu kutofika kileleni?
NOTE:
Mawazo yapo kwenye tendo,maandalizi niyakutosha,unafurahia tendo lakini kileleni hufiki, msasada plz
Je kuna dawa yakumfanya mtu afike kileleni kwa haraka?
upungufu wa hormone za kike kunaeza msababisha mtu kutofika kileleni?
NOTE:
Mawazo yapo kwenye tendo,maandalizi niyakutosha,unafurahia tendo lakini kileleni hufiki, msasada plz