Msaada wa dharura (swali)

Yani mtu anamwa kichwa badala ya kumpa panadol unamng'oa mishipa ya fahamu asisikie maumivu
 
Eti Thermostat haina umuhimu kwahyo waliyoiweka ni maboya au [emoji28]
 
Eti Thermostat haina umuhimu kwahyo waliyoiweka ni maboya au [emoji28]
Laiti sasa ningempata mtaalamu akaniambia ni kwanini kifaa hicho kipo na huwa kina kazi gani, na kinapoondolewa kinaweza kuleta madhara gani.

Unajua hata katika mwili wa mtu kuna baadhi ya viungo huondolewa kwa ustawi wa mtu huyo. Kwa mfano; govi kwa mwanaume, kucha, nywele , etc

Sent from my device using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…