Msaada wa fundi mzuri wa Nissan Dualis

Msaada wa fundi mzuri wa Nissan Dualis

dadi5

Senior Member
Joined
Jun 24, 2015
Posts
104
Reaction score
218
Habarini za jioni wanajamvi,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza natafuta fundi mwenye uzoefu wa kuzitengeneza Nissan Dualis,gari yangu inasumbua sana na sina mpango wa kuiuza asanteni.

Gari ni ya 2010

Tatizo:

1.Inakosa nguvu

2.Inatoa mngurumo tofauti na kawaida

3. Misfire

Yaliyofanyika

1. Kubadilisha nozzle na chile

2. Kubadili control box iliyokuja na gari d2 na kuweka nyingine(used) u 5

Matokeo

Hakuna mabadiliko

Nawasilisha kwa msaada zaidi.

Nb: Nawasilisha faulty zilizoonekana kwenye diagnostic tool.

IMG-20210706-WA0008.jpg
IMG-20210619-WA0000.jpg
 
Habarini za jioni wanajamvi, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza natafuta fundi mwenye uzoefu wa kuzitengeneza Nissan Dualis kwani gari yangu inasumbua sana na sina mpango wa kuiuza asanteni. Gari ni ya 2010

TATIZO:
1.INAKOSA NGUVU
2.INATOA MNGURUMO TOFAUTI NA KAWAIDA
3. MISFIRE

YALIYOFANYIKA
1. Kubadilisha Nozzle na Chile
2. Kubadili control Box iliyokuja na gari D2 na kuweka nyingine(Used) U 5

MATOKEO
HAKUNA MABADILIKO

NAWASILISHA KWA MSAADA ZAIDI


NB: NAWASILISHA FAULTY ZILIZOONEKANA KWENYE DIAGNOSTIC TOOLView attachment 1865066View attachment 1865067
JituMirabaMinne
 
Habarini za jioni wanajamvi, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza natafuta fundi mwenye uzoefu wa kuzitengeneza Nissan Dualis kwani gari yangu inasumbua sana na sina mpango wa kuiuza asanteni. Gari ni ya 2010

TATIZO:
1.INAKOSA NGUVU
2.INATOA MNGURUMO TOFAUTI NA KAWAIDA
3. MISFIRE

YALIYOFANYIKA
1. Kubadilisha Nozzle na Chile
2. Kubadili control Box iliyokuja na gari D2 na kuweka nyingine(Used) U 5

MATOKEO
HAKUNA MABADILIKO

NAWASILISHA KWA MSAADA ZAIDI


NB: NAWASILISHA FAULTY ZILIZOONEKANA KWENYE DIAGNOSTIC TOOLView attachment 1865066View attachment 1865067
Yamekukuta, hizo gari ni Kero.
 
Habarini za jioni wanajamvi, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza natafuta fundi mwenye uzoefu wa kuzitengeneza Nissan Dualis kwani gari yangu inasumbua sana na sina mpango wa kuiuza asanteni. Gari ni ya 2010

TATIZO:
1.INAKOSA NGUVU
2.INATOA MNGURUMO TOFAUTI NA KAWAIDA
3. MISFIRE

YALIYOFANYIKA
1. Kubadilisha Nozzle na Chile
2. Kubadili control Box iliyokuja na gari D2 na kuweka nyingine(Used) U 5

MATOKEO
HAKUNA MABADILIKO

NAWASILISHA KWA MSAADA ZAIDI


NB: NAWASILISHA FAULTY ZILIZOONEKANA KWENYE DIAGNOSTIC TOOLView attachment 1865066View attachment 1865067

Boss labda utupe history ya tatizo lako. How come gari ikatrigger code kwa hayo matatizo yote.

P0304 ni cylinder namba 4 inamisi. Ni ngumu kusema moja kwa moja kuwa shida ni nini unless mpaka niwe na gari maana sababu zinaweza kuwa Coil, plug, nozzle, fuel pressure, air leak, poor compression, wiring ya nozzle au coil n.k.

p0141 ni Downstream oxygen sensor. Inafungwa baada ya catalytic converter. Au sensor 2 bank 1

p1122 ni electronic throtle.

p0123 na p0223 ni accelerator pedal sensor kwa gari ambazo zina electronic throttle. Ila ingekuwa gari ya kawaida ingekuwa ni TPS sensor

p0135 ni Upstream Oxygen sensor Bank 1. Au Sensor 1 Bank 1

p0350 inasababishwa na ignition coil. Probably ile misi ya cyl 4 inababishwa na coil.
 
Boss labda utupe history ya tatizo lako. How come gari ikatrigger code kwa hayo matatizo yote.

P0304 ni cylinder namba 4 inamisi. Ni ngumu kusema moja kwa moja kuwa shida ni nini unless mpaka niwe na gari maana sababu zinaweza kuwa Coil, plug, nozzle, fuel pressure, air leak, poor compression, wiring ya nozzle au coil n.k.

p0141 ni Downstream oxygen sensor. Inafungwa baada ya catalytic converter. Au sensor 2 bank 1

p1122 ni electronic throtle.

p0123 na p0223 ni accelerator pedal sensor kwa gari ambazo zina electronic throttle. Ila ingekuwa gari ya kawaida ingekuwa ni TPS sensor

p0135 ni Upstream Oxygen sensor Bank 1. Au Sensor 1 Bank 1

p0350 inasababishwa na ignition coil. Probably ile misi ya cyl 4 inababishwa na coil.
Mleta mada pata mungozo...
 
Habarini za jioni wanajamvi, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza natafuta fundi mwenye uzoefu wa kuzitengeneza Nissan Dualis kwani gari yangu inasumbua sana na sina mpango wa kuiuza asanteni. Gari ni ya 2010

TATIZO:
1.INAKOSA NGUVU
2.INATOA MNGURUMO TOFAUTI NA KAWAIDA
3. MISFIRE

YALIYOFANYIKA
1. Kubadilisha Nozzle na Chile
2. Kubadili control Box iliyokuja na gari D2 na kuweka nyingine(Used) U 5

MATOKEO
HAKUNA MABADILIKO

NAWASILISHA KWA MSAADA ZAIDI


NB: NAWASILISHA FAULTY ZILIZOONEKANA KWENYE DIAGNOSTIC TOOLView attachment 1865066View attachment 1865067
Kwanza rudisha origina control box yake..
 
Habarini za jioni wanajamvi, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza natafuta fundi mwenye uzoefu wa kuzitengeneza Nissan Dualis kwani gari yangu inasumbua sana na sina mpango wa kuiuza asanteni. Gari ni ya 2010

TATIZO:
1.INAKOSA NGUVU
2.INATOA MNGURUMO TOFAUTI NA KAWAIDA
3. MISFIRE

YALIYOFANYIKA
1. Kubadilisha Nozzle na Chile
2. Kubadili control Box iliyokuja na gari D2 na kuweka nyingine(Used) U 5

MATOKEO
HAKUNA MABADILIKO

NAWASILISHA KWA MSAADA ZAIDI


NB: NAWASILISHA FAULTY ZILIZOONEKANA KWENYE DIAGNOSTIC TOOLView attachment 1865066View attachment 1865067
KHA! YAN ule Mkopo 18M tuliokupitishia hapa HR ndio ukaenda kununua Nissan
Pumbafu kabisa hukuona Toyota wanaProduct nyingi ambazo zipo durable ununuwe!
 
Gari ndogo za Nissan, VW, Audi, Pajero, Volvo, ni Kero Tanzania. Epukana Nazo. Vipuri ni shida,ni ghali, mafundi hawayajui Namna ya kuyatengeneza.
kumbe shida ni mafundi hawajui kuzitengeneza. sio gari?
The thing with mafundi wa kibongo hawataki kujiongeza, hizi gari ni computerized, wao wameshazoea za kawaida. ukimpelekea gari la kisasa analikorokochoa au kuliharibu zaidi.

japo si mafundi wote. wapo wanaojua jinsi ya kudeal na magari ya kisasa.
 
Back
Top Bottom