Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ninaowatafuta mkuukumbe shida ni mafundi hawajui kuzitengeneza. sio gari?
The thing with mafundi wa kibongo hawataki kujiongeza, hizi gari ni computerized, wao wameshazoea za kawaida. ukimpelekea gari la kisasa analikorokochoa au kuliharibu zaidi.
japo si mafundi wote. wapo wanaojua jinsi ya kudeal na magari ya kisasa.
mbona wapo meku. CFAO na wengine wako sinza japo ni wachache na gharama zimepanda kidogoNdio ninaowatafuta mkuu
Ndoa us kikiristoZimepakiwa kwa sababu gani mkuu?
Habarini za jioni wanajamvi, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza natafuta fundi mwenye uzoefu wa kuzitengeneza Nissan Dualis kwani gari yangu inasumbua sana na sina mpango wa kuiuza asanteni. Gari ni ya 2010
TATIZO:
1.INAKOSA NGUVU
2.INATOA MNGURUMO TOFAUTI NA KAWAIDA
3. MISFIRE
YALIYOFANYIKA
1. Kubadilisha Nozzle na Chile
2. Kubadili control Box iliyokuja na gari D2 na kuweka nyingine(Used) U 5
MATOKEO
HAKUNA MABADILIKO
NAWASILISHA KWA MSAADA ZAIDI
NB: NAWASILISHA FAULTY ZILIZOONEKANA KWENYE DIAGNOSTIC TOOLView attachment 1865066View attachment 1865067
Chembe Cha moyoYamekukuta, hizo gari ni Kero.
Dualis pasua kichwa Kama XtrailBoss una nissan unapeleka gari garage za chini ya mti? Utabadilisha kila kitu ukimfuata fundi asiemzoefu kumbe ni ishu ndogo sana..nenda kwa dealer wa nissan..
haya haya hayaaaaaaa....kumekuchaHabarini za jioni wanajamvi, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza natafuta fundi mwenye uzoefu wa kuzitengeneza Nissan Dualis kwani gari yangu inasumbua sana na sina mpango wa kuiuza asanteni. Gari ni ya 2010
TATIZO:
1.INAKOSA NGUVU
2.INATOA MNGURUMO TOFAUTI NA KAWAIDA
3. MISFIRE
YALIYOFANYIKA
1. Kubadilisha Nozzle na Chile
2. Kubadili control Box iliyokuja na gari D2 na kuweka nyingine(Used) U 5
MATOKEO
HAKUNA MABADILIKO
NAWASILISHA KWA MSAADA ZAIDI
NB: NAWASILISHA FAULTY ZILIZOONEKANA KWENYE DIAGNOSTIC TOOLView attachment 1865066View attachment 1865067
Sasa hapo tatizo ni hayo magari au tatizo ni jamii kukosa mafundi wac hizo gari.Gari ndogo za Nissan, VW, Audi, Pajero, Volvo, ni Kero Tanzania. Epukana Nazo. Vipuri ni shida,ni ghali, mafundi hawayajui Namna ya kuyatengeneza.
Sijui katoa ya nn?! Unakuta mafundi wa chini ya muembe wanamshauri hivyo.Kwanza rudisha origina control box yake..
Ni ishara kuwa wanaoziendesha ni watu careless. Kama watu hawawezi kusimamia mahusiano yao na wapenzi wao au biashara siwezi kushangaa wakishindwana na hii gari.zimepakiwa nyingi tuu mjini zimepungua sanaa tuliwambia
Story za kuambiwa hizi. Hizi gari sasa kwa idadi zinaanza kufikia RaV4 au Harrier. Zinanunuliwa sana shida ipo kwa wazee wa kujivuta kufanya service. Mtu anataka gari ichomoke tairi ndipo apeleke service.Zimepakiwa kwa sababu gani mkuu?
Mmmmmmhmn pale simshauri aende..... Maaana jamaa ni kama mtu kuumwa malaria ukaenda kutibiwa Aghakhan!Nenda Jerry Spare Mikocheni Kairuki....
0715666656
Nipe mrejesho mzee.... Nishamsikia sana... Shida nini pale???Mmmmmmhmn pale simshauri aende..... Maaana jamaa ni kama mtu kuumwa malaria ukaenda kutibiwa Aghakhan!