Msaada wa fundi mzuri wa Nissan Dualis

if usipopata msaada weekiend huwa natumia time angu garage karbu tuchek possibilities mzee niko kinondoni jxt pm
 
Chenj gearbox oil
 
Hata Mimi Nissan yangu ulikuwa hivyo nikaenda pale kariakoo salama nikanunua plug nikabadilisha koili moja ilikuwa shida chombo sasa hivi kinapanda hadi mti. Nguvu imerudi sana
 
Hata Mimi Nissan yangu ulikuwa hivyo nikaenda pale kariakoo salama nikanunua plug nikabadilisha koili moja ilikuwa shida chombo sasa hivi kinapanda hadi mti. Nguvu imerudi sana
Jamaa unamikwara...... Eti ikapanda hadi mti...... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ntaomba contacts zao mkuu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…